Abdulrazak Gurnah : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
→Orodha ya riwaya zake: kazi |
|||
Mstari 8:
Alipofika Uingereza alianza kusoma kwenye Chuo cha Christ Church College, [[Canterbury]], baadaye akahamia Chuo Kikuu cha Kent alipopata [[shahada ya uzamili]] katika fasihi mnamo 1982. Tasnia yake ilikuwa kuhusu ''Criteria in the Criticism of West African Fiction''.
Kuanzia mwaka 1980 hadi 1983, Gurnah alifundisha kwenye Chuo Kikuu cha Bayero mjini [[Kano]], [[Nigeria]]. Akarudi
== Kazi zake ==
|