Chuma : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Imeongeza sehemu kuhusu jinsi chuma kinaweza kutumika katika maisha ya kawaida ya kila siku.
d Masahihisho aliyefanya 208.117.126.150 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
Tag: Rollback
Mstari 26:
 
Madini chuma ni muhimu sana katika [[mwili]] wa [[binadamu]] na [[wanyama]]. Upungufu wake ni wa kawaida sana duniani na unasababisha [[maradhi]] mbalimbali kuanzia upungufu wa [[wekundu wa damu]] na hatimaye wa [[damu]] yenyewe. Kwa mfano nchini [[Tanzania]] asilimia 58 za [[watoto]] wenye [[umri]] wa chini ya miaka mitano wana upungufu huo <ref>TDHS 2015/2016</ref>.
 
Chuma ni muhimu sana na inaweza kutumika kwa njia kadhaa muhimu. Ulehemu wa chuma ni maarufu sana katika ujenzi na hutumiwa kusaidia kujenga milango, uzio, na ngazi za chuma.
 
Utatuzi wa tatizo hilo ni kula [[Kitu|vitu]] vyenye chuma kwa wingi kama [[nyama]] za ndani ([[ini]], [[figo]], [[moyo]]), [[dagaa]] na [[samaki]] wengine, lakini pia [[mboga]] kama [[matembele]], [[mnavu]], [[mchicha]], [[kisamvu]] na [[mlenda]].
Line 45 ⟶ 43:
* [http://www.periodicvideos.com/videos/026.htm Video kuhusu chuma toka Chuo Kikuu cha Nottingham]
* [http://mysite.du.edu/~jcalvert/phys/iron.htm Makala kuhusu chuma iliyoandikwa na J.B. Calvert]
*[https://www.aaa-welding-company.com/provo-utah Chuma Kutumika Katika Kulehemu kwa Chuma]
{{mbegu-kemia}}
[[Jamii:Elementi]]