Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Kipala alihamisha ukurasa wa Tanzania National Archives hadi Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Tanzania |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa''' ('''Tanzania National Archives''') ni kitengo cha serikali kinachotunza kumbukumbu cha nyaraka za [[Tanzania]]. Kama kila [[taasisi ya nyaraka]] inatunza faili na ushuhuda mwingine wa kazi ya idara za serikali zilizopita ambazo hazihitajiki tena katika kazi ya kiutawala ya kila siku.
== Historia ==
Faili za zamani zaidi kwenye nyaraka zinatokana na utawala wa kikoloni wa Kijerumani.
Mnamo 1921 serikali ya
Nyaraka hizo zilikuwa msingi wa jalada za Kijerumani katika ofisi ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa. <ref> [http://www.utumishi.go.tz/archives/archives/index.php?option=com_content&view=category&layout=blog&id=1&Itemid=2 The United Republic of Tanzania. Records and Archives Management Division]: ''about us''. </ref>
Mstari 10:
Kwenye Juni ya mwaka wa 1963, baada ya uhuru, serikali mpya ya Tanganyika huru iliomba usaidizi wa [[UNESCO]] kumtafuta mtaalamu atakayeanzisha utaratibu wa kuteua mafaili yanayofaa kuhifadhiwa na kuyapanga kwa utaratibu.
Mkurugenzi huyu wa kwanza alikuwa Michael Cook kutoka Uingereza. <ref> Haas, S. 65;
Kwa Amri Nambari 7 ya Rais wa Desemba 1962, Idara ya Nyaraka (Kiing. ''Records and Archives Management Division'') ilikuwa idara ya Wizara ya Utamaduni wa Kitaifa na Vijana. Jalada zilitunzwa mwanzoni kwenye chumba cha chini cha jengo la serikali kwenye bandari ya [[Dar es Salaam|Dar es Salaam.]] <ref> Cook: ''Meine Tätigkeit'', S. 74. </ref> Michael Cook alijaribu kwanza kutafuta na kukusanya mafaili ambayo yalikuwa yamehifadhiwa kwenye dari za ofisi za mikoa na wilaya nchini. <ref> Cook: ''Meine Tätigkeit'', S. 74. </ref> Alitunga pia sheria ya kwanza ya kumbukumbu na nyaraka ya Tanzania. <ref> Cook: ''Meine Tätigkeit'', S. 75. </ref>
Mstari 49:
*
== Viungo vya
* [http://www.nyaraka.go.tz Tovuti rasmi] ya Idara ya Kumbukumbu na Nyara za Taifa Tanzania
* Chuo Kikuu cha
▲* Chuo Kikuu cha Sayansi iliyotumiwa Potsdam : [https://archivfuehrer-kolonialzeit.de/index.php/tanzania-national-archives Mwongozo wa Jalada kwa Historia ya Kikoloni ya Ujerumani]
== Tanbihi ==
|