Muujiza : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 3:
Matukio hayo yanaweza kufikiriwa yamesababishwa ama na [[Mungu]] au [[miungu]], hata kupitia mtu wa [[dini]], ama na nguvu nyingine zinazohusiana na [[ushirikina]].
Hayo ni tofauti kabisa na matukio ambayo yanapatikana kwa nadra lakini yanaweza kuelezwa kisayansi ambayo watu wengine wakiyashangaa na kuyafurahia wanayaita miujiza.
==Katika Ukristo==
|