Muujiza : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 3:
 
Matukio hayo yanaweza kufikiriwa yamesababishwa ama na [[Mungu]] au [[miungu]], hata kupitia mtu wa [[dini]], ama na nguvu nyingine zinazohusiana na [[ushirikina]].
 
Hayo ni tofauti kabisa na matukio ambayo yanapatikana kwa nadra lakini yanaweza kuelezwa kisayansi ambayo watu wengine wakiyashangaa na kuyafurahia wanayaita miujiza.
 
==Katika Ukristo==