Chui milia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
Masahihisho katika sanduku |
||
Mstari 16:
| spishi = ''[[Panthera tigris]]''
| bingwa_wa_spishi = ([[Carolus Linnaeus|Linnaeus]], 1758)
| subdivision = '''Nususpishi 5:'''
* ''[[Panthera tigris sondaica|P. t.
* ''[[Panthera tigris tigris|P. t.
* †''[[Panthera tigris acutidens|P. t.
* †''[[Panthera tigris soloensis|P. t. soloensis]]'' <small>[[Gustav Heinrich Ralph von Koenigswald|Koenigswald]], 1933</small>
* †''[[Panthera tigris trinilensis|P. t.
| ramani = Tiger distribution3.PNG
| upana_wa_ramani = 250px
| maelezo_ya_ramani = Msambao wa chui milia mnamo 1900 (machungwa) na wa kisasa (nyekundu)
}}
'''Chui milia''' (pia: '''babara''' kutoka [[Kiarabu]]: [[:ar:ببر|babar]]; [[jina la kisayansi]]: ''Panthera tigris''; kwa [[Kiingereza]]: ''tiger'') ni [[mnyama]] mkubwa [[Walanyama|mlanyama]] wa [[Familia (biolojia)|familia]] ya Felidae katika ngeli ya [[mamalia]], kwa hiyo chui milia hufanana na [[paka]] mkubwa.
Line 34 ⟶ 36:
Jike anazaa watoto 2-3 na kuwatunza kwa miaka 2 - 3. Baadaye wanapaswa kujitafutia eneo lao. Kwa [[umri]] wa miaka 3-4 anaweza kuzaa na kufikia umri wa miaka 20 - 25.
== Viungo vya nje ==
{{commons|Panthera tigris}}
|