Kunguru : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
MPF (majadiliano | michango) d (GR) File renamed: File:Black-Billed Magpie.jpg → File:Black-billed Magpie, Yellowhead Highway, north of Jasper, Alberta.jpg typo, add location |
|||
Mstari 41:
== Kunguru na binadamu ==
Baadhi ya kunguru huonwa kuwa ni waharibifu na
Kwa tamaduni nyingi za kienyeji za kaskazi ya mbali sana kunguru, spishi kubwa hasa, wamekuchwa kama viumbe vya kirobo au miungu. Katika [[Afrika]] [[Waxhosa]] wa [[Afrika Kusini]] waliwachukulia kunguru kuwa ni ndege wa Mungu. Hadithi ya kixhosa kuhusu shujaa aitwaye Gxam inasimulia kwamba kunguru walirudishia shujaa aliyefanywa upofu uwezo wake wa kuona. Hadithi nyingine ya Wasara wa [[Chadi]] na [[Sudani]] inasimulia kwamba Mungu mkuu, Wantu Su, alimpa mpwa wake wa kiume Wantu ngoma iliyokuwa ndani yake na mifano ya kila kitu kilichokuwamo mbinguni. Wantu alitarajiwa kuwapatia binadamu vitu hivi, lakini alikuwa akishuka kamba iliyounga mbingu na dunia, kunguru alipiga ngoma. Ngoma akaanguka duniani, akavunjika na akatawanya wanyama, [[samaki]] na [[mmea|mimea]] duniani kote.
|