Jahazi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Masahihisho Tag: Disambiguation links |
picha zinazofaa zaidi |
||
Mstari 1:
[[Picha:A fleet of East Indiamen at sea.jpg|thumb|300x300px|Kundi la jahazi za Kiingereza ikielekea Uhindi mnamo mwaka 1802]]
[[Picha:Tarangini.jpg|thumb|300x300px|Jahazi ya Kihindi Tarangini wakati wa mashindano huko Newport, Marekani mnamo 2007 ]]
'''Jahazi''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]) ni [[mashua]] yenye [[tanga]] ambayo hutumika kubeba [[watu]] na [[shehena]] (mizigo).
Kabla ya matumizi ya [[injini za mvuke]] na [[Injini ya diseli|injini za diseli]] kwenye [[meli]] kulikuwa na jahazi kubwa zilizotekeleza usafiri wa baharini. Jahazi kubwa za mwisho ziliacha kutumiwa kibiashara kwenye miaka ya 1950.
.
{{mbegu}}
|