Desmond Tutu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: KihaririOneshi Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Mstari 5:
Ilipofika [[mwaka]] wa [[1984]] alipokea [[Tuzo ya Nobel]] [[Tuzo ya Nobel ya Amani|ya amani]] kwa kupigania bila [[silaha]] [[haki]] za [[Afrika|Waafrika]] wote dhidi ya [[ubaguzi wa rangi]] [[Apartheid|nchini mwake]].
 
== Familia na elimu ==
Desmond Mpilo Tutu alizaliwa Katika Familia masikini ya mchanganyiko wa Waxhosa na Watwana. Alisoma ualimu akamwoa . Mnamo 1960 alibarikiwa padre wa Kanisa Anglikana. 1962 alihamia Uingereza aliposoma theolojia. iporudi Afrika Kusini mnamo 2966 alifundisha kwenye chuo Cha theolojia kisha Chuo Kikuu cha Botswana na Uswazi.
Desmond Mpilo Tutu alizaliwa katika familia ya mchanganyiko wa [[Waxhosa]] na [[Watwana]]. Babake Zachariah Tutu alikuwa mwalimu mkuu wa shule ya sekondari na mamake Aletha Matlhare alikuwa mfanyakazi ya nyumbani.<ref name="history">[[South African History Online]]: [http://www.sahistory.org.za/people/archbishop-emeritus-mpilo-desmond-tutu ''Archbishop Emeritus Desmond Mpilo Tutu'']. kwenye ''www.sahistory.org.za'' </ref> Alisoma ualimu akamwoa Leah Nomalizo Shenxane akazaa naye watatoto wanne Trevor Thamsanqa, Theresa Thandeka, Naomi Nontombi (* 1960) na Mpho Andrea (*1963 mjiini [[London]]) .
 
 
Desmond Mpilo Tutu alizaliwa Katika Familia masikini ya mchanganyiko wa Waxhosa na Watwana. Alisoma ualimu akamwoa . Mnamo 1960 alibarikiwa padre wa Kanisa Anglikana. 1962 alihamia Uingereza aliposoma theolojia. iporudiAliporudi Afrika Kusini mnamo 2966 alifundisha kwenye chuo Chacha theolojia kisha Chuo Kikuu cha Botswana na Uswazi.
 
== Maandishi yake ==