Kanisa kuu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 1:
[[image:Archbasilica of St. John Lateran HD.jpg|thumb|300px|Upande wa mbele wa [[Basilika]] [[Kanisa kuu la Roma|kuu la Mt. Yohane huko Laterano]] wakati wa [[usiku]]. Ndilo kanisa kuu la [[Roma]]. Juu ya [[paa]], pamoja na nyingine, kuna [[sanamu]] ya Yesu Mkombozi tena [[Thenashara|12]] za [[Mitume wa Yesu]].]]
[[Picha:New St Theresa's Metropolitan Cathedral (under construction).jpg|thumb|Kanisa kuu jipya la [[Jimbo Kuu la Arusha]], [[Tanzania]] linaloendelea kujengwa.]]
[[Picha:Helsinki July 2013-27a.jpg|thumb|right|Kanisa kuu la [[Helsinki]], [[Ufini]].]]
[[File: Catedral_de_Salta_1.jpg|thumb|right|200px|Kanisa kuu la [[Salta]], [[Argentina]].]]
'''Kanisa kuu''' ni [[jina]] la heshima la [[Maabadi|jengo la ibada]] la [[madhehebu]] mbalimbali ya [[Ukristo]] ambalo [[Askofu]] wa [[jimbo]] ([[dayosisi]]) fulani analitumia kwa kawaida kutekeleza kazi yake kama [[mchungaji]] mkuu wa waamini wake, kama vile kuhubiri na kufundisha [[Neno la Mungu]], kutakasa watu kwa [[sakramenti]] na [[sala]] mbalimbali na kuwaunganisha wote katika kumfuata [[Yesu]] pamoja.