Swala : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 30:
** ''[[Pantholops]]'' <small>Hodgson, 1834</small>
}}
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
 
'''Swala''' ni [[mnyama|wanyama]] walao [[nyasi|manyasi]] katika [[nusufamilia]] [[Antilopinae]], [[Aepycerotinae]] na [[Pantholopinae]] za [[familia (biolojia)|familia]] [[Bovidae]]. Hupatikana katika maeneo yenye nyasi fupi fupi na vichaka vifupi fupi hasa kwenye maeneo mengi ya hifadhi katika Afrika. [[Spishi]] nyingine hukimbia kilometa 80 kwa saa na zina uwezo wa kuruka mita 7 hadi 8 juu akiwa kwenye kasi. Rangi yao ni ya mchanga na nyeupe kidogo kwenye koromeo na sehemu ya chini ya mkia. Maadui yao wakubwa ni [[simba]], [[chatu]] na [[chui]].
Line 89 ⟶ 88:
File:Nyumbu na Swala.jpg|thumb|Swala na Nyumbu
</gallery>
{{Artiodactyla|R.5}}
 
{{mbegu-mnyama}}
{{Artiodactyla|R.5}}
 
[[Jamii:Swala]]
[[Jamii:Wanyama wa Afrika]]
[[Jamii:Wanyama wa Biblia]]
 
<!-- interwiki -->