Wilaya ya Nkhotakota : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
 
[[Picha:MW-Nkhotakota.png|right|269x269px| Mahali pa Wilaya ya Nkhotakota nchini Malawi]]
'''Wilaya ya Nkhotakota''' ni [[Districts of Malawi|wilaya]] mojawapo katika [[Kanda ya Kati, Malawi|Kanda ya Kati]] nchini [[Malawi]] . [[Makao makuu]] yako [[Nkhotakota]] . Wilaya ina eneo la [[Kilomita ya mraba|km²]] 4,259 na ina wakazi 395,897. <ref name="Census2018">{{Cite web|url=http://www.nsomalawi.mw/images/stories/data_on_line/demography/census_2018/2018%20Malawi%20Population%20and%20Housing%20Census%20Main%20Report.pdf|title=2018 Population and Housing Census Main Report|publisher=Malawi National Statistical Office|accessdate=25 December 2019}}</ref> [[Neno]] [[Nkhotakota]] linamaanisha "kona-kona" katika [[lugha]] ya [[Kinyanja|Chichewa]] . Iko kando ya [[Ziwa Nyasa]] inayoitwa hapa Ziwa Malawi.
 
== Vitengo na utawala ==