Kanisa la Kiorthodoksi la Eritrea : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Rescuing 0 sources and tagging 1 as dead.) #IABot (v2.0.8.5 |
|||
Mstari 17:
==Desturi==
[[Ndoa]] huweza kuanzishwa au kupangwa wakati [[mwanamume]] ana [[umri]] wa miaka kumi na..., au ishirini na...
Tangu kuzaliwa, [[padri]] hutembelea familia kwa ajili ya kumbariki [[mtoto]], na pia [[tohara|kutahiri]] mtoto kama ni wa kiume. [[Mama]] wa mtoto, hutakiwa kukaa ndani kwa siku 40 baada ya kujifungua kama mtoto ni wa kiume na kukaa ndani kwa siku 80 kwa mtoto ni wa kike kabla ya kwenda kanisani kwa ajili ya [[ubatizo]].
|