Tenzi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
||
Mstari 2:
Tenzi huweza kuwa na mpangilio wa [[silabi]] zinazolingana katika kila mstari pia haufuati urari wa mizani katika mshororo wake.
Sifa za utenzi
1. Huwa na vina
2. Huwa na mishororo minne
3. Vile vile utenzi huwa na mizani nane(8).
4. Beti zake huwa ni nyingi ila hazizidi zile za utendi ambao wenyewe utendi huwa na beti nyingi zenye usimulizi.
Mfano wa tenzi:
|