Shairi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 33:
==Mizani==
Mizani ni ulinganifu wa idadi ya silabi katika kila kipande au mistari ya ubeti wa shairi. Mara nyingi mashairi ya kimapokeo huwa na mizani nane (8) kwa kila kipande na mizani kumi na sita (16) kwa kila mstari ([[mshororo]]).
Vile vile katika mashairi mengine, mizani huwa Saba(7) kwa kila kipande huku kila mshororo ukiwa na mizani kumi na minne (14).
 
==Vina==