Shairi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
No edit summary Tags: KihaririOneshi Mobile edit Mobile web edit |
||
Mstari 39:
Ili shairi lako lihesabike kama limetimia vina, ni lazima [[herufi]] za mwisho na za kati za ubeti wako ziwe zinafanana.
Vina vya kati katika kila ubeti lazima vifanane, navyo vina vya mwisho pia ni lazima vifanane kwenye ubeti.
'''Mfano katika shairi:'''
''Baba tumekosa ni'''ni,''' wanao kutukimb'''ia''' Umetuachia na'''ni''', mwengine kukimbil'''ia.'''''
Tangamano na amani, wanako tunalilia▼
Vina vya kati ni "ni" navyo vya mwisho ni"ia" katika kila mshororo.
Katika ubeti huu, vina vya kati ni "ni" na vinafanana katika kila mishororo mitano, navyo vina vya mwisho ni "ia" katika kipande cha pili kwenye mishororo yote mitano ya ubeti huu.
|