Shairi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Tags: KihaririOneshi Mobile edit Mobile web edit
Mstari 39:
 
Ili shairi lako lihesabike kama limetimia vina, ni lazima [[herufi]] za mwisho na za kati za ubeti wako ziwe zinafanana.
 
Vina vya kati katika kila ubeti lazima vifanane, navyo vina vya mwisho pia ni lazima vifanane kwenye ubeti.
 
'''Mfano katika shairi:'''
Baba tumekosa nini,wanao kutukimbia
 
Umetuachia nani, mwengine kukimbilia
''Baba tumekosa ni'''ni,''' wanao kutukimb'''ia''' Umetuachia na'''ni''', mwengine kukimbil'''ia.'''''
Tangamano na amani, wanako tunalilia
 
Kauguzwa kwa imani,lakini kaambulia
Vina vya kati ni "ni" navyo vya mwisho ni"ia" katika kila mshororo.
Mahali pema peponi,roho twaomba tulia.
 
 
 
 
 
Tangamano''Tangamanoo na amani, wanako tunalilia''
 
 
 
Katika ubeti huu, vina vya kati ni "ni" na vinafanana katika kila mishororo mitano, navyo vina vya mwisho ni "ia" katika kipande cha pili kwenye mishororo yote mitano ya ubeti huu.