Maziwa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
fix file parameters |
d Badala ya kusomeka hunyewa sasa litasomeka Hunywewa Tags: KihaririOneshi Mobile edit Mobile web edit |
||
Mstari 7:
Nje ya lishe ya wanyama changa, maziwa hutumiwa na [[binadamu]] kama [[kinywaji]] na [[chakula]]. Watu hufuga wanyama wanaotoa maziwa, hasa [[ng'ombe]], kwa kusudi la kukamua maziwa yao. Wanyama wengine wanaofugwa na kukamuliwa kwa maziwa yao ni [[mbuzi]], [[kondoo]] na [[ngamia]], [[farasi]], [[punda]] na [[nyati]].
Maziwa
Kwa hiyo maziwa yanayotolewa kwenye [[viwanda vya maziwa]] hupata [[upasteurishaji]] na hutunzwa kwenye [[baridi]] chini ya kiwango cha [[sentigredi]] 7. Katika [[mazingira]] asilia maziwa yaliyochachuka hunyewa au, kama yameganda, huliwa.
|