Mji mkuu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Removing Kashif_rahman_home.jpg, it has been deleted from Commons by Túrelio because: Copyright violation: Uploader may have given us incorrect licensing information. Stock photograph pro
 
Mstari 1:
[[picha:Dodoma,_Tanzania..jpg|thumbnail|right|200px|Dodoma, mji mkuu wa Tanzania.]]
[[Picha:Nairobi night skyline at dusk .jpg|thumbnail|200px|[[Nairobi]], mji mkuu wa Kenya.]]
 
[[Picha:Kashif rahman home.jpg|thumbnail|right|200px|[[Helsinki]], mji mkuu wa [[Ufini]].]]
'''Mji mkuu''' kwa kawaida ni [[mji]] wenye [[makao makuu]] ya [[serikali]] ya nchi fulani. Katika nchi nyingi mji huo ni pia mji mkubwa na muhimu zaidi kushinda miji mingine nchini. Huo ni sehemu yenye [[maendeleo]] makubwa sana katika nchi yoyote: ina kila [[huduma]] muhimu na [[miundombinu]] iliyo bora. Mfano: nchini [[Tanzania]] mji mkubwa ni [[Dar es Salaam]], ingawa makao makuu ni [[Dodoma]].