6
edits
d (CHAKULA MASHUHURI CHIPSI KUKU) |
|||
== '''CHIPSI KUKU''' ==
Karibu kwenye safu maridhawa na leo nalenga moja kwa moja kwa chakula mashuhuri chipsi kuku.
Mandhari ya biashara hizi hutofautiana kutokana na vipato vya watafutaji ajira, kuna sehemu ambazo utastarehe na kiyoyozi juu yake, lakini sehemu nyengine kutokana na mazingira yake, fumba macho tu kama una njaa au waswahili wanasema ‘usimchungue kuku atakushinda kumla ‘. Lakini yote kenda , kumi mmeyaona mafuta yanayochomewa chipsi kuku ? Ikiwa kwenye karai au fraya. Haya mafuta yakipelekwa kwa mkemia mkuu sijui atatujibu nini. Hivi haya maradhi si ya kujitakia ? hatukatai chipsi kuku zisiuzwe lakini haya mafuta jamani mtatuuwa kwa maradhi ya kansa , mbali na maradhi hayo mapumzi juu juu na matumbo kama wajawazito.
|
edits