'''Heinrich Rohrer''' (amezaliwa [[6 Juni]], [[1933]]) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya [[Uswisi]]. Baadhi ya utafiti mwingine alichunguza na kubuni hasa aina fulani ya [[hadubini]]. Mwaka wa 1986, pamoja na [[Ernst Ruska]] na [[Gerd Binnig]] alikuwa mshindi wa '''[[Tuzo ya Nobel]] ya Fizikia'''.