Wilfried Zaha : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
dNo edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Wilfried Zaha 17-12-2016 1.jpg|thumb|180px|right|Wilfried Zaha]]
'''Dazet Wilfried Armel Zaha''' (alizaliwa [[10 Novemba]] [[1992]]) ni [[mchezaji]] wa [[soka]] na ambaye anacheza kama [[mshambuliaji]] wa klabu ya [[Crystal Palace]] na [[timu ya taifa]] ya [[Ivory Coast]].
 
Zaha alijiunga na [[timu]] ya Crystal Palace kutoka katika kituo cha kufundishia soka mwaka [[2010]]. Katika msimu wake wa kwanza alifunga mabao 18 katika mashindano yote. Mnamo [[Januari]] [[2013]], alihamishiwa [[Manchester United]] kwa ada ya awali ya £ 10 [[milioni]] (mchezaji wa gharama kubwa zaidi wa Crystal Palace aliyeuzwa wakati huo). Zaha alirudi Palace [[Agosti]] [[2014]] kwa [[Mkopo (fedha)|mkopo]] wa muda mrefu, kabla ya kusaini mkataba wa kudumu mwezi [[Februari]] [[2015]]. Tangu wakati huo amekuwa mchezaji wa 12 mwenye mabao mengi kwenye klabu hiyo.<ref>{{Cite web|last=www.holmesdale.net|first=Holmesdale Online|title=All-time top scorers|url=https://www.holmesdale.net/page.php?id=317|access-date=2020-12-09|website=Holmesdale Online}}</ref>
'''Dazet Wilfried Armel Zaha''' (aliyezaliwa 10 Novemba 1992) ni <!--Tafadhali usiongeze utaifa hapa kwani makala inaweka wazi utata. Jadili kwenye ukurasa wa mazungumzo--> mtaalamu [[Association football|footballer]] ambaye anacheza kama [[Mshambuliaji (mshikaji kandanda)|mshambuliaji]] wa timu ya taifa ya Ivory coast.Zaha ni mzaliwa wa Ivory Coast na alikulia Uingereza kutoka umri wa miaka minne. Alicheza mechi yake ya kwanza kwa [[timu ya taifa ya kandanda ya Uingereza|timu ya taifa ya Uingereza]] mwaka wa 2012, akitokea katika mechi mbili zisizo za ushindani moja kati ya hizo ilifanyika mwaka 2013. Baada ya kutoichezea Uingereza kwa miaka minne, alibadilika na kuichezea Ivory Coast kabla ya [[Kombe la Mataifa ya Afrika la 2017]].
 
Alizaliwa nchini Ivory Coast, na alikulia [[Uingereza]] akiwa na [[umri]] wa [[miaka]] minne. Alichezea timu ya taifa ya Uingereza mwaka 2012, akionekana katika mechi mbili zisizo za ushindani. Baada ya kutochezea Uingereza kwa miaka minne, alijiunga na timu ya taifa ya Ivory Coast kabla ya [[Kombe la Mataifa ya Afrika]] 2017.
==Angalia pia==
*[[Orodha ya wanasoka wa kimataifa wa Uingereza waliozaliwa nje ya Uingereza]]
 
==Marejeleo==
{{reflist}}
 
==Viungo vya njeMarejeo==
{{reflist}}
{{kategoria ya kawaida}}
{{Mbegu-cheza-mpira}}
*[https://www.cpfc.co.uk/teams/first-team/forward/wilfried-zaha/ Maelezo mafupi] katika Crystal Palace F.C. tovuti
[[Jamii:Waliozaliwa 1992]]
*{{Soka}}
[[Jamii:Wachezaji mpira wa Cote d'Ivoire]]
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:Afrocuration Project 2022 Tanzania]]