Microsoft : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile app edit Android app edit |
No edit summary |
||
Mstari 24:
'''Microsoft Corporation''' ni [[kampuni]] ya kimataifa ya [[teknolojia]] ya [[kompyuta]]. <ref name="2005annual">{{cite web | title= Microsoft Corporation Annual Report 2005 | url= http://www.microsoft.com/msft/ar05/downloads/MS_2005_AR.doc | publisher = Microsoft | format = doc | accessdate= 1 Oktoba | accessyear=2005}}</ref> Neno "Microsoft" ni [[neno unganifu]] lilitokana na maneno ya [[Kiingereza]] "microcomputer" na "software".
Kampuni ilianzishwa na William Henry Gates III (anayefahamika zaidi kama [[Bill Gates]]) na [[Paul Allen]] mnamo [[
[[Makao makuu]] yako [[Redmond, Washington]], [[Marekani]].
Mstari 30:
Kampuni hii inaendeleza, kutengeneza, kutoa leseni, kusaidia na kuuza [[programu]] za kompyuta, vifaa vya umeme, kompyuta binafsi pamoja na huduma zihusianazo na hizo. Programu yake ya kompyuta ijulikanayo sana ni mfumo ongozo wa kompyuta wa [[Microsoft Windows]], na programu nyingine kama vile, [[Microsoft Office]], na [[Internet Explorer]] pamoja na [[Edge Web]]. Vifaa vyake maarufu ni vifaa michezo vya Xbox pamoja na mfumo wa [[kioomguso]] uitwao [[Microsoft Surface lineup]] kwa ajili ya kompyuta binafsi.
Kwa mwaka wa 2016, ndiyo kampuni kubwa duniani yenye kutengeneza programu za kompyuta kwa makusanyo ya jumla, na ni moja kati ya kampuni zenye thamani kubwa zaidi duniani. Microsoft ni kampuni iliyoko nafasi ya
== Tanbihi ==
|