Mvutano : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 2:
Mawazo ya [[wachoraji]] kuhusu kani ya mvutano.]]
[[Picha:ParabolicWaterTrajectory.jpg|thumbnail|Mwendo wa [[maji]] yanayotoka kwenye [[nozeli]] kuelekea juu unabadilishwa mwelekeo wake kwa umbo la [[parabola]] kutokana na nguvu ya graviti ya dunia.]]
'''Graviti''' (kutoka [[Kiingereza]]: "gravity"; pia: '''kani ya mvutano''', '''kanimvutano''', '''nguvu ya uvutano''', '''nguvu mvutano''') ni [[kani]] ya uvutano iliyopo kati ya [[gimba|magimba]] yote ya [[ulimwengu]]. Kila gimba lenye [[masi]] linavuta magimba
Graviti ni kani isiyo na kikomo lakini athira yake
[[Isaac Newton]] anajulikana kama [[mtaalamu]] aliyeweza kueleza graviti kwa mara ya kwanza kama utaratibu wa
==Mifano ya athira ya graviti==
[[Jiwe]] likitupwa hewani, litaanguka chini. Hii ni kwa sababu, ingawa kani ya [[mkono]] ilipeleka jiwe kwenda juu, kani ya graviti ya Dunia inapunguza kasi ya jiwe na hatimaye inalirudisha
[[Tabia]] ya kuvutana inaonekana vyema kati ya Dunia na [[Mwezi]]. Dunia ni kubwa, inauvuta Mwezi na kuushika kwenye [[njia]] yake ya kuzunguka Dunia. Lakini wakati huohuo Mwezi unavuta pia Dunia na hii inaonekana [[bahari|baharini]] katika mabadiliko ya [[maji]] [[Maji kujaa na kupwa|kupwa]] na maji [[Maji kujaa na kupwa|kujaa]] kila [[siku]]. Maji ya bahari huvutwa na Mwezi kiasi kwamba kwenye sehemu ya Dunia inayotazama Mwezi, maji ya bahari yaliyo moja kwa moja chini ya Mwezi huinuliwa [[kiasi]] cha [[nusu]] [[mita]] juu ya [[wastani]] wa [[Usawa bahari wastani|usawa wa bahari]] yote.
{{mbegu-fizikia}}
|