Papa Leo IX : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 6:
Alimfuata [[Papa Damaso II]] akafuatwa na [[Papa Viktor II]].
Akielekea [[Roma]] kwa ajili ya kutawazwa, alikutana na [[abati]] [[
Alikuwa Papa bora kutoka [[Ujerumani]] katika [[Karne za Kati]], akijitahidi kupambana na maovu ya wakati ule<ref>Butler, Alban, ''Butler's Lives of the Saints'', (Liturgical Press, 2003), 176.</ref>, ingawa kutokana na [[utawala]] wake lilitokea [[farakano]] na [[Waorthodoksi|Kanisa la Kigiriki]] ([[Farakano la mwaka 1054]])<ref>Brett Edward Whalen, ''Dominion of God: Christendom and Apocalypse in the Middle Ages'' (Harvard University Press, 2009), p. 24.</ref> .
Alitangazwa na
[[Sikukuu]] yake huadhimishwa kwenye tarehe ya kifo chake<ref>[[Martyrologium Romanum]]</ref>.
|