Kimalay : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile app edit Android app edit
Mstari 1:
[[file:Malay sphere.svg|thumb|Nchi ya Kimalay]]
'''Kimalay''' ni [[Lugha za Kiaustronesia|lugha ya Kiaustronesia]] nchini [[Malaysia]], [[IndonesiaBrunei]], [[Singapuri]] na [[SingapuriIndonesia]] inayozungumzwa na [[Wamalay]]. Ni [[lugha ya mawasiliano]] kwa wengi, tofauti na [[Kimalay Sanifu]] ambayo ni [[lugha rasmi]] nchini Malaysia.
 
Mwaka wa 2004 idadi ya wasemaji wa Kimalay nchini Malaysia ilihesabiwa kuwa [[watu]] [[milioni]] [[kumi]] na [[nusu]]. Pia kuna wasemaji milioni 4.91 nchini Indonesia (2000) na wasemaji 414,000 nchini Singapuri (2010).