Maada : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8.4
No edit summary
Tags: Reverted KihaririOneshi Mobile edit Mobile web edit
Mstari 4:
| data2 = Mata kwa kawaida inaweza kupatikana katika hali nne. Picha zinazionyesha kutoka juu kwenda chini: [[kwazi]] ([[mango]]), [[maji]] ([[kiowevu]]), [[daioksidi ya nitrojeni]] ([[gesi]]), na [[tufe la plazma]] ([[Plazma (fizikia)|plazma]]).
}}
'''MataMaada''' (kutoka [[Kiingereza]] ''matter'': kwa [[Kiswahili]] pia "maada") ni [[neno]] pana linalojumlisha vyote vinavyoweza kuonekana, kusikika, kuguswa, kuchunguzwa n.k., ikiwemo hasa ''mata ya kawaida'' inayoundwa na [[atomi]] ambazo tena zinaundwa na [[kiini]] cha [[protoni]] na [[neutroni]], kikizungukwa na [[wingu]] la [[elektroni]].<ref name=Davies2>
{{cite book
|author=P. Davies
Mstari 46:
}}</ref>
 
MataMaada inapatikana kwa kawaida katika [[hali za mata|hali]] nne: [[mango]], [[kiowevu]], [[gesi]] na [[Utegili (fizikia)|plasma]]. Maada huweza kubadilika pale tu [[halijoto]] inapobadilika. Badiliko la maada linaweza kuwa kutoka gesi kwenda yabisi mfano mvuke kuwa barafu, yabisi kwenda gesi mfano barafu kuwa mvuke, kimiminika kuwa yabisi mfano maji kuwa barafu n.k.
 
Hivyo matawi mbalimbali ya [[sayansi]] yanatumia neno mata kwa maana tofautitofauti.<ref name=Davies>