Maada : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: KihaririOneshi Mobile edit Mobile web edit
d Tengua pitio 1227479 lililoandikwa na 197.250.60.105 (Majadiliano)
Tag: Undo
Mstari 4:
| data2 = Maada kwa kawaida inaweza kupatikana katika hali nne. Picha zinazionyesha kutoka juu kwenda chini: [[kwazi]] ([[mango]]), [[maji]] ([[kiowevu]]), [[daioksidi ya nitrojeni]] ([[gesi]]), na [[tufe la plazma]] ([[Plazma (fizikia)|plazma]]).
}}
'''MaadaMata''' (kutoka [[Kiingereza]] ''matter'': kwa [[Kiswahili]] pia "maada") ni [[neno]] pana linalojumlisha vyote vinavyoweza kuonekana, kusikika, kuguswa, kuchunguzwa n.k., ikiwemo hasa ''mata ya kawaida'' inayoundwa na [[atomi]] ambazo tena zinaundwa na [[kiini]] cha [[protoni]] na [[neutroni]], kikizungukwa na [[wingu]] la [[elektroni]].<ref name=Davies2>
{{cite book
|author=P. Davies
Mstari 46:
}}</ref>
 
MaadaMata inapatikana kwa kawaida katika [[hali za mata|hali]] nne: [[mango]], [[kiowevu]], [[gesi]] na [[Utegili (fizikia)|plasma]]. Maada huweza kubadilika pale tu [[halijoto]] inapobadilika. Badiliko la maada linaweza kuwa kutoka gesi kwenda yabisi mfano mvuke kuwa barafu, yabisi kwenda gesi mfano barafu kuwa mvuke, kimiminika kuwa yabisi mfano maji kuwa barafu n.k.
 
Hivyo matawi mbalimbali ya [[sayansi]] yanatumia neno mata kwa maana tofautitofauti.<ref name=Davies>