Dawati : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
dNo edit summary
Tags: KihaririOneshi Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Mstari 1:
[[Faili:Ambariomiambana - école primaire 5.jpg|thumb|Madawati darasani nchini Madagaska]]
[[Picha:ButlersDesk.jpg|thumb|Dawati la kuandikia.]]
[[Picha:Gammel liten skolepult pult skolebenk Tre Benk stol Lokk Rom under bordplate Grop til blekkhus Maling flasser Old small wooden school room bench writing desk Storage compartment space under table top Porsgrunn Norway 2020-01-14 1646.jpg|thumb|Dawati la shule kwenye makumbusho nchini [[Norwei]]]]
'''Dawati''' ni mkusanyiko wa vipande vya [[mbao]] au vyuma vilivyounganishwa pamoja na kutengeneza [[meza]] mbili(zilizo ungana pamoja), ikiwa moja ni ndefu (ambayo kawaida hutumika kama Meza) na nyingine ni fupi(hutumika kama kiti au kikalio) kwa kimo kutoka chini kuelekea juu, zilizo katika vipimo vinavyowiana katika pande mbalimbali.
'''Dawati''' (pia '''deski'''<ref>Kufuatana na [[Kamusi Kuu ya Kiswahili|Kamusi Kuu]] dawati na deski ni visawe</ref>) ni meza inayotumiwa hasa na mwanafunzi kwa kuandikia au kusomea mara nyingi ikiwa na sanduku ya kuwekea vitabu, madaftari na kalamu.
 
Wakati mwingine dawati inataja [[mtoto wa meza]] au saraka pekee.
Dawati hutengenezwa kulingana na idadi ya watu wanaokaa katika dawati hilo. Kuna dawati la mtu mmoja watu wawili na watu watatu.
 
Madawati ya shule mara nyingi hutengenezwa pamoja na kiti chake kama kipande kimoja, ilhali kimo cha sehemu ya meza na ya kiti hulingana na umri wa wanafunzi wanaolengwa. Upana wa dawati hutengenezwa kulingana na idadi ya watu wanaokaa katika dawati hilo. Kuna dawati la mtu mmoja watu wawili na watu watatu.
Dawati hutumiwa [[shule|shuleni]], [[ofisi|ofisini]], [[nyumba|nyumbani]] na kadhalika.
 
DawatiMadawati hutumiwahupatikana [[shule|shuleni]], [[ofisi|ofisini]], [[nyumba|nyumbani]] na kadhalika.
Dawati hutumika katika shughuli za kitaaluma kama vile kusomea, kuandikia na pia kuwekea vifaa kama vile [[kompyuta]].
 
==Marejeo==
{{marejeo}}
 
{{mbegu}}
 
[[Jamii:Samadi]]
[[jamii:Shule]]
[[Jamii:Vifaa]]