Kitunda (sataranji) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Addbot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 57 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q135 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Kitunda1.png|thumb|450px|'''Mwendo wa kitunda'''<br />'''Kushoto:''' Nafasi za vitunda mwanzoni wa mchezo ziko kwenye mstari wa pili kila upande<br />'''Kulia:'''Mwendo: hatua ya kwanza ya kitunda ni mirabi 2 au 1 kwenda mbele pekee. Hatua zinazofuata ni mraba 1-1 tu (angalia nukta nyeupe/nyeusi).<br />'''Kukamata:'''alama nyekundu zinaonyesha miraba ambako vitunda vyeupe vinaweza kukamata kete za adui; alama buluu ni miraba ambako vitunda vyeusi vinaweza kukamata<br />. ]]
'''Kitunda''' hutazamiwahutazamwa kama kete dhaifu kwenye mchezo wa [[shataranji]]. Hata hivyo mchezaji hodari anaweza kushinda akijua kutumia vitunda vyake kwa busara. Kama kete inafika mstari wa mwisho upande wa kinyume wa ubao inabadilika kuwa kete ya juu kama malkia au ngome.
 
Nafasi ya kitunda ni kama askari wa mguu katika jeshi; maafisa wa juu na askari wenye silaha za pekee wanakaa nyuma yake.
Mstari 10:
 
Kwa hiyo namna ya kufungua mstari wa vitunda ni kipindi cha kwanza katika mchezo wa shataranji.
 
 
== Mwendo ==
Line 23 ⟶ 22:
Kama kinapita mraba unaotishiwa na kitunda cha adui kinaweza kuondolewa. Sababu yake ni ya kwamba kama kingetembea hatua ndogo ya mraba 1 tu adui kingekuwa na nafasi ya kuishambulia. Kama mchezaji adui anaamua hivyo anaweza kuondoa kitunda na kuweka chake kwenye mraba uliotishiwa naye awali.
 
[[Jamii:ShataranjiSataranji]]