Walutheri : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.8
No edit summary
Mstari 2:
[[File:Lutheranism_by_country.png|thumbnail|Walutheri nchi kwa nchi mwaka 2013]]
{{Ukristo}}
'''Walutheri''' ni [[jina]] linalotumika kuwataja kwa jumla wafuasi wa [[Yesu Kristo]] wanaozingatia mafundisho yaliyotolewa na [[Martin Luther]] katika [[karne ya 16]].
 
==Uenezi==
[[Madhehebu]] ya Kilutheri yalienea nje ya [[Ulaya Kaskazini]] kule ambako Wajerumani na Waskandinavia walihamia, kama vile [[Marekani]].
 
[[Bara]]ni [[Afrika]] Walutheri wako hasa katika nchi zilizokuwa ma[[koloni]] ya [[Ujerumani]], kama vile [[Tanzania]], [[Namibia]] na [[Kamerun]], lakini pia [[Ethiopia]].
 
[[Idadi]] yaoya wanaoabudu katika [[Shirikisho la Kimataifa la Kilutheri]] ni kama [[milioni]] 7577<ref>[http{{Cite web|date=2013-05-19|title=About the LWF|url=https://www.lwf-assembly2003lutheranworld.org/content/about-lwf|access-interspire/display.php?Mdate=3044&C2021-08-03|website=b689f8daad9f7e69d74486021000dfec&S=639&L=22&NThe Lutheran World Federation|language=674en}} Takwimu ya Walutheri duniani mwaka 2012 ]</ref> (mbali na Walutheri wasiojiunga na shirikisho hilo) na wanazidi kuongezeka barani [[Asia]] na [[Afrika]], huku wakipungua sehemu nyingine.
 
Wafuasi wao walio wengi wengi wanaishi [[Ujerumani]] milioni 12.5, [[MarekaniEthiopia]] 710.14, [[UswidiTanzania]] 67.5 million9, [[EthiopiaMarekani]] na 7.1, [[TanzaniaUswidi]] kila moja milioni 5.89, [[Indonesia]] 54.65.
 
Kwa kuwatazama kama asilimia ya wakazi katika nchi mbalimbali Walutheri ni jumuiya kubwa kabisa ya kidini katika nchi zote za [[Skandinavia]], [[EstoniaNamibia]], [[LatviaEstonia]], [[NamibiaLatvia]] na jimbo la [[North Dakota]] la [[Marekani]].
 
==Muundo, imani, liturujia==
Muundo wao wa kanisa ni ama [[dayosisi]]/jimbo au kanisa la kitaifa.
 
[[Asilimia]] kubwa ya Walutheri wako pamoja katika [[Shirikisho la KilutheriKimataifa Dunianila Kilutheri]] (Lutheran World Federation) lenye [[makao makuu]] mjini [[Geneva]], [[Uswisi]].
 
Msingi wao ni [[Biblia ya Kikristo]] yenye vitabu 66 tu.
Mstari 26:
Kumbe hali hiyo inadumu mpaka leo katika nchi za Skandinavia (Sweden, Norway, Denmark n.k.) ambapo [[wafalme]] waliamua kugeuza Kanisa zima la nchi zao kuwa la Kiinjili-Kilutheri. Ila Sweden Walutheri waliendelea na cheo cha uaskofu na desturi nyingi za Kanisa la kale, wakifanana zaidi na [[Waanglikana]] wa [[Uingereza]].
 
Walutheri wote wanaadhimisha [[sakramenti]] 2, yaani [[Ubatizo]] na [[Chakula cha Bwana]]. [[Asilimia]] 80 za makanisa yao zinakubali [[Mchungaji|wachungaji]] [[Mwanamke|wanawake]].
 
==Tanbihi==
Mstari 60:
*Moldehnke, Edward F. "Was ist denn eigentlich ein Lutheraner?" ''Evangelish-Lutherisches Gemeinde-Blatt''. Vol. 1, nos. 8–10 (1866). Trans. Nathaniel J. Biebert. [http://www.studiumexcitare.com/content/111 "So What Actually Is a Lutheran?"] ''Studium Excitare''. Issue #12 (2010).
*A historical study of the Laestadian Lutheran Church, the SRK, and Conservative Laestadianism. [http://examinationofthepearl.org/]
 
{{mbegu-Ukristo}}
 
[[Jamii:Walutheri]]
[[Category:Ukristo]]