Alois Beaulieu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 2:
'''{{PAGENAME}}, [[M.E.P.]]''' ([[Langon]], [[Ufaransa]], [[8 Oktoba]] [[1840]] - [[Sai-Nam-Hte]], [[7 Machi]] [[1866]]) ni mmojawapo katika [[kundi]] kubwa la [[Wakristo]] wa [[Kanisa Katoliki]] nchini [[Korea]] waliouawa kwa ajili ya [[imani]] yao katika miaka [[1791]]–[[1888]]. Wanakadiriwa kuwa 8,000 - 10,000.
[[Padri]] huyo [[mmisionari]]
Hao na [[wafiadini]] wenzao 99 walitangazwa na [[Papa Yohane Paulo II]] kuwa [[watakatifu]] [[tarehe]] [[6 Mei]] [[1984]].<ref>[http://www.kofc.org/en/columbia/detail/korea-church-martyrs.html Korea and the church of martyrs]</ref>
|