Elizabeth II wa Uingereza : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
kifo
Mstari 2:
'''Elisabeth II''' alikuwa [[malkia]] wa [[Uingereza]] (au [[Ufalme wa Muungano]]) tangu [[mwaka]] [[1952]] hadi kufariki dunia tarehe [[8 Septemba]] [[2022]]. Alikuwa malkia kwa miaka 70 na siku 214. Katika [[historia]] yote ya [[dunia]] hakuna [[mtawala]] aliyedumu [[Madaraka|madarakani]] [[muda]] mrefu kuliko yeye.
 
Alizaliwa kwa jina la Elizabeth Alexandra Mary Windsor mjini [[London]] [[tarehe]] [[21 Aprili]] [[1926]] kama [[mtoto]] wa kwanza wa mfalme [[George VI wa Uingereza]] na Elizabeth Bowes-Lyon. Anafuatwa na mwana wake [[Charles III wa Uingereza]].
Kama mkuu wa [[Jumuiya ya Madola]] yeye ni pia [[mkuu wa dola]] wa nchi zifuatazo ndani ya jumuiya hii: