Elizabeth II wa Uingereza : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: KihaririOneshi Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Elizabeth II.jpg|thumb|200px|Elisabeth II mwaka 2006.]]
'''Elisabeth II''' alikuwa [[malkia]] wa [[Uingereza]] (au [[Ufalme wa Muungano]]) tangu [[mwaka]] [[1952]] hadi kufariki dunia tarehe [[8 Septemba]] [[2022]]. Alikuwa malkia kwa miaka 70 na siku 214. Katika [[historia]] yote ya [[dunia]] hakunawako [[mtawalawatawala]] aliyedumuwachache waliodumu [[Madaraka|madarakani]] [[muda]] mrefu kuliko yeye<ref>[https://www.theguardian.com/uk-news/live/2022/sep/08/queen-elizabeth-ii-dies-royals-monarchy-latest-news-updates Queen Elizabeth II dies aged 96] Guardian (UK), 08.09.2022</ref><ref>Mfalme [[Louis XIV wa Ufaransa]] alitawala miaka 72 kutoka 1643 - 1715</ref>. Soma zaidi [https://bromunews.com/cv-ya-malkia-elizabeth-queen-elizabeth-profile.html wasifu wake hapa]
 
Alizaliwa kwa jina la Elizabeth Alexandra Mary Windsor mjini [[London]] [[tarehe]] [[21 Aprili]] [[1926]] kama [[mtoto]] wa kwanza wa mfalme [[George VI wa Uingereza]] na Elizabeth Bowes-Lyon. Anafuatwa na mwana wake [[Charles III wa Uingereza]].