Kalenga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.2
Mstari 2:
'''Kalenga ''' ni [[jina]] la [[kata]] ya [[Wilaya ya Iringa Vijijini]] katika [[Mkoa wa Iringa]], [[Tanzania]] yenye [[Postikodi Tanzania|Postikodi namba]] 51201. Kwa mujibu wa [[sensa]] iliyofanyika [[mwaka]] wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 6,963 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Iringa Region- Iringa District Council]</ref> [[Msimbo wa posta]] ni 51201.
 
Hadi mwanzo wa [[ukoloni]] Kalenga ilitwa pia "Iringa"; baada ya [[Wajerumani]] kuanzisha "Iringa Mpya" ''(Neu-Iringa)'' mahali pa mji wa leo, waliita mahali asilia "Iringa ya Kale" ''(Alt-Iringa)''<ref>[[Kamusi ya Koloni za Kijerumani (1920)]], makala "Iringa", [http://www.ub.bildarchiv-dkg.uni-frankfurt.de/Bildprojekt/Lexikon/php/suche_db.php?suchname=Iringa online hapa (jer.)] {{Wayback|url=http://www.ub.bildarchiv-dkg.uni-frankfurt.de/Bildprojekt/Lexikon/php/suche_db.php?suchname=Iringa |date=20160325205607 }}</ref>.
 
==Kalenga-Iringa na historia ya mtemi Mkwawa==