Majina ya kisayansi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Masahihisho
No edit summary
Mstari 1:
'''Majina ya kisayansi''' yanatumiani [[jina|majina]] rasmi katika [[tawi|matawi]] mbalimbali ya [[sayansi]] yanayotumia mara nyingi [[lugha]] ya [[Kilatini]], lakini pia maneno kutoka [[Kiyunani]].
 
==Historia ya majina ya kisayansi==
Chanzo cha majina ya kisayansi ya kisasa kinapatikana katika [[Ulaya]] ya [[zama za mwamko]] (ingkwa [[Kiingereza|Kiing.]] ''renaissance''). Katika kipindi hikihicho pamoja na [[karne]] zilizofuata misingi ya mfumo wa sayansi ya kisasa ulitokea. Wakati ule lugha ya [[elimu]] kote Ulaya ilikuwa Kilatini ambacho ilikuwakilikuwa lugha ya [[Roma ya Kale]] iliyoendelea kutumiwa kama lugha ya [[dini]], sayansi na elimu kwa jumla. Pamoja na Kilatini [[Mtaalamu|wataalamu]] wengi wa Ulaya walijifunza pia [[Kiyunani|Kigiriki cha Kale]] ambacho ilikuwa lugha siyo tu ya [[Agano Jipya]] lakini pia lugha ya [[Kitabu|vitabu]] vya kale vilivyosomwa upya ambamo watu walijifunza upya elimu ya zamani iliyosahauliwa kiasi katika karne zilizotanguliazilizofuata.
 
Kutokana na misingi hiihiyo vyanzo vya mapatano kuhusu istilahi na majina ya kisayansi vilitumia lugha ya Kilatini pamoja na maneno mengi ya Kigiriki.
Ushuhuda wake ni majina ya sayansi kwa lugha nyingi:
* [[Biolojia]] ni neno lililotungwa kwa kuunganisha maneno mawili ya Kigiriki βίος bios ([[uhai]]) na λόγος logos (neno, elimu)
* Jiometria[[Jiometri]] ni neno lililotungwa kwa kuunganisha maneno mawili ya Kigiriki γεω geo ([[Dunia]], ardgiardhi) na μετρία metria ([[upimaji]])
 
Mifano mashuhuri ni kitabu cha "Species Plantorum" (Aina za mimea) cha [[Carl Linne]] kilichoandikwa kwenye mwaka [[1753]] kwa Kilatini na kuwa msingi wa [[uainishaji wa kisayansi]] katika biolojia hadi leo.
 
==Majina ya sayansi katika biolojia==
Utaratibu wa [[uainishaji]] wa [[wanyama]] na [[mimea]] ulioanzishwa na [[Carl Linnaeus]] unaendelea kufuatwa hadi leo, hivyo kila mmea au mnyama unapewaanapewa jina la kisayansi yenye sehemu mbili: sehemu ya kwanza inataja [[jenasi]] na sehemu ya pili [[spishi]]. Kwa kawaida jina la mnyama linafuatwa na jina la familia[[ukoo]] (au [[kifupi]] chake cha [[herufi]] kadhaa) la [[mtaalamu]] aliyewahi kueleza spishi hiyo katika [[Maandishi|maandiko]] ya [[sayansi|kisayansi]], pamoja na [[mwaka]] ambapo makala yake imetolewa. Jina la mmea linafuatwa na kifupi cha herufi moja au kadhaa cha jina la mtaalamu bila mwaka. Majina ya jenasi na spishi huandikwa kwa mlazo na lile la jenasi linaanzia na herufi kubwa.
 
Hadi leo [[spishi]] za mimea zilizoainishwa na Linnaeus zinatajwa kwa herufi "L." baada ya jina la kisayansi. Kwa mfano, [[mpunga]] ni mmea wa jenasi inayotajwa kwa jina la kisayansi kama ''Oryza'' (L.) na "L." katika [[mabano]] inaonyesha kwamba jenasi hiihiyo ilielezwa mara ya kwanza na Linnaeus. Lakini jina la kisayansi yala [[simba]] ni ''Panthera leo'' Linnaeus, 1758, kwa sababu pia mnyama huyu aliwekwa na Linnaeus katika utaratibu wa [[uainishaji wa kisayansi]].
 
==Majina ya astronomia==
Line 50 ⟶ 60:
| first26=Andrea
}}</ref>
 
==Historia ya majina ya kisayansi==
Chanzo cha majina kisayansi ya kisasa kinapatikana katika Ulaya ya [[zama za mwamko]] (ing. ''renaissance''). Katika kipindi hiki pamoja na karne zilizofuata misingi ya mfumo wa sayansi ya kisasa ulitokea. Wakati ule lugha ya elimu kote Ulaya ilikuwa Kilatini ambacho ilikuwa lugha ya Roma ya Kale iliyoendelea kutumiwa kama lugha ya dini, sayansi na elimu kwa jumla. Pamoja na Kilatini wataalamu wengi wa Ulaya walijifunza pia Kigiriki cha Kale ambacho ilikuwa lugha siyo tu ya Agano Jipya lakini pia lugha ya vitabu vya kale vilivyosomwa upya ambamo watu walijifunza upya elimu ya zamani iliyosahauliwa kiasi katika karne zilizotangulia.
 
Kutokana na misingi hii vyanzo vya mapatano kuhusu istilahi na majina ya kisayansi vilitumia lugha ya Kilatini pamoja na maneno mengi ya Kigiriki.
Ushuhuda wake ni majina ya sayansi kwa lugha nyingi:
* Biolojia ni neno lililotungwa kwa kuunganisha maneno mawili ya Kigiriki βίος bios (uhai) na λόγος logos (neno, elimu)
* Jiometria ni neno lililotungwa kwa kuunganisha maneno mawili ya Kigiriki γεω geo (Dunia, ardgi) na μετρία metria (upimaji)
 
Mifano mashuhuri ni kitabu cha Species Plantorum (Aina za mimea) cha [[Carl Linne]] kilichoandikwa kwenye mwaka 1753 kwa Kilatini na kuwa msingi wa uainishaji wa kisayansi katika biolojia hadi leo.
 
==Marejeo==
<references/>
 
{{mbegu-sayansi}}
 
[[Jamii:Biolojia]]
[[Jamii:Uainishaji]]