Adalbert wa Prague : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 20:15, 17 Julai 2006
Adalbert wa Prague (takriban 956 – 23 Aprili 997) alikuwa askofu katika mji wa Prague. Mwaka wa 999 alitangazwa kuwa mtakatifu. Sikukuu yake ni 23 Aprili.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |