Alois Beaulieu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Removing Korean_martyrs.jpg, it has been deleted from Commons by Krd because: No permission since 9 November 2022. |
Rescuing 1 sources and tagging 0 as dead.) #IABot (v2.0.9.3 |
||
Mstari 3:
[[Padri]] huyo [[mmisionari]] alikatwa [[kichwa]] pamoja na [[askofu]] [[Simeoni-Fransisko Berneux]] na [[mapadri]] wawili wa shirika lake: [[Yusto Ranfer]] na [[Petro-Henri Dorie]] kwa sababu, walipoulizwa na watesi wamefika Korea kufanya nini, walijibu kwa [[ujasiri]] na [[unyofu]] kwamba wana lengo la [[Wokovu|kuokoa]] watu kwa [[jina]] la [[Yesu]]<ref>http://www.santiebeati.it/dettaglio/92284</ref>.
Hao na [[wafiadini]] wenzao 99 walitangazwa na [[Papa Yohane Paulo II]] kuwa [[watakatifu]] [[tarehe]] [[6 Mei]] [[1984]].<ref>
[[Sikukuu]] ya hao [[Wafiadini wa Korea]] huadhimishwa tarehe [[20 Septemba]].
|