Slobodan Milosevic : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d nimesahihisha neno Rais kuwa rais. |
||
Mstari 1:
[[Picha:Milosevic-Lopez cropped.jpg|thumb|Milošević mwaka wa 1996]]
'''Slobodan Milosevic''' ([[20 Agosti]], [[1941]] - [[11 Machi]], [[2006]]) alikuwa [[Rais]] wa [[Serbia]] kuanzia [[mwaka]] [[1989]] hadi [[2000]]. Pia alikuwa
Asili ya Milosevic ilianzia katika kijiji cha Lijeva Rijeka pale Podgorica na ukoo kutoka Montenegro. Alizaliwa Požarevac, mji ambao upo kati ya mito mitatu ya Danube, Great Morava na Mlava. Milosevic alizaliwa miezi minne baada ya uvamizi wa Falme ya Yugoslavia uliofanywa na mataifa Ujerumani, Italia na Japan yalikuwa yakifahamika kama Roberto. Milosevic alikuwa na kaka yake ambaye baadaye alikuja kuwa Mwanadiplomasia. Baba yake Milosevic alijiua mwaka 1962.
|