'''Uwanja waKiwanja cha Ndege wacha Kimataifa wacha Kilimanjaro''' ('''Kilimanjaro International Airport - KIA''') unahudumiakinahudumia eneo la [[mlima Kilimanjaro]] pamoja na miji ya [[Moshi (mji)|Moshi]] na [[Arusha (mji)|Arusha]] katika [[Tanzania]] ya kaskazini. .
Ni uwanjakiwanja mdogokidogo unaofikiwakinachofikiwa hasa na ndege za [[Air Tanzania]]. Makampuni ya kimatifa yanayohudumia KIA ni hasa [[KLM]] kutoka [[Amsterdam]] na [[Ethiopian Airlines]] kutoka [[Addis Abbaba]].
Mwaka 2004 abiria 294.750 waltumiawalitumia uwanja huu. Hivyo imekuwa uwanjakiwanja wacha ndege wacha pili katika Tanzania baada ya [[Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Mwalimu Kambarage Nyerere|kiwanja cha Dar es Salaam]].