Mchikichi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
{{Uainishaji| rangi = lightgreen| jina = Mchikichi <br> ''Elaeis guineensis| picha = Koeh-056.jpg| upana_wa_picha = 250px| maelezo_ya_picha = [[Mchikichi]]| himaya = [[Planta]] (mimea)| faila = [[Magnoliophyta]] (mimnea yenye maua)| ngeli = [[Liliopsida]] | oda = [[Arecales]] | familia = [[Arecaceae]] | jenasi = '''''Elaeis'''''|spishi = ''Elaeis guineensis''<br/>''Elaeis oleifera''<small> [[Nikolaus Joseph von Jacquin|Jacq.]] }}
'''Mchikichi''' ('''Elaeis guineensis''') ni kati ya [[miti]] iliyo muhimu zaidi kiuchumi. Matunda yake huleta [[mawese]] ambayo hutumika sana kama [[mafuta ya kupikia]], kwa ajili ya madawa mbalimbali na siku hizi pia kama [[diseli]].
Asili yake iko [[Afrika ya Magharibi]]. Jina la kisayansi „Elaeis guenesis“ limepewa kwa sababu kiasili ilipatikana kwa wingi katika nchi za [[Guinea]]. Siku hizi inakuzwa zaidi katika [[Amerika]] na hasa [[Asia]] ya kusini.
|