Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: it:Compagnia dell'Africa Orientale Tedesca |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki''' ([[Kijerumani]]: Deutsch-Ostafrikanische Gesellschaft (DOAG)) ilikuwa shirika ya binafsi iliyoundwa na [[Karl Peters]]
Ilianzishwa kwa jina la "Shirika kwa koloni za Kijerumani" mwaka 1884. Wawakilishi wake walifaulu mwaka uleule kujipatia mikataba na machifu na masultani wa Afrika ya Mashariki upande wa mashariki wa maeneo chini ya utawala wa Zanzibar kwenye pwani.
|