Maktaba ya Aleksandria : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
New page: thumb|200px|Maktaba jinsi ilivyoonekana zamani '''Maktaba ya Aleksandria''' ilikuwa maktaba kubwa na mashuhuri ya zama za kale. Ilianzishwa mjini [[Ale... |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Ancientlibraryalex.jpg|thumb|200px|Maktaba jinsi ilivyoonekana zamani]]
'''Maktaba ya Aleksandria''' ilikuwa maktaba kubwa na mashuhuri ya [[zama za kale]]. Ilianzishwa mjini [[Aleksandria]] katika [[Misri]]
Wakuu wa maktaba walikuwa wataalamu mashuhuri kama [[Eratosthenes]] ambao mara nyingi walikuwa pia walimu wa wana wa mfalme.
Maktaba ililenga kukusanya vitabu vyote vilivyopatikana. Serikali ya Misri iliagiza ya kwamba kila mgeni alipaswa kuonyesha vitabu na miandiko yake yote vilichunguliwa na maafisa wa maktaba na kama
Mwanahistoria Mroma [[Aulus Gellius]] aliandika ya kwamba maktaba ilikuwa na vitabu 700,000 wakati wa [[Julius Caesar]].
Vitabu vingi viliharibiwa wakati wa vita kati ya Caesar na [[Kleopatra]].
Hakuna uhakika maktaba
{{DEFAULTSORT:Aleksandria, Maktaba}}
[[Category:Misri ya Kale]]
[[Category:Ugiriki
[[Category:
[[ar:مكتبة الإسكندرية]]
|