Gaborone : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: eu:Gaborone, tl:Gaborone |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:Gaborone 25.92305E 24.68895S.jpg|thumbnail|400px|Picha ya Angani ya Gaborone]]
'''Gaborone''' ni [[mji mkuu]] wa Botswana ikiwa na wakazi 186,000 (mwaka 2001). Iko
Mji huu ulianzishwa kwenye makao ya chifu [[Kgosi Gaborone]] wa [[BaTlokwa]]. Waingereza walijenga kituo kidogo cha kiutawala kando
Uhuru ulipokaribia viongozi waliona haja la kuwa na mji mkuu ndani ya Botswana wakaamua kupanusha Gaborone.▼
▲Uhuru ulipokaribia viongozi waliona haja
Katika muda mfupi wa miaka mitatu mnamo 1965 - 1967 pekee mji mpya ukajengwa mwenye majengo ya bunge, serikali, kituco cha umeme, shule, hospitali, polisi, posta, benki, maduka, kanisa, hoteli, kiwanda cha bia, uwanja wa michezo na nyumba 1000.▼
▲Katika muda mfupi wa miaka mitatu mnamo 1965 - 1967 pekee mji mpya ukajengwa mwenye majengo ya bunge, serikali,
Leo hii Gaborone ni mji wa kisasa kabisa inayoonyesha maendeleo ya kiuchumi wa Botswana.
Jumuiya ya Maendeleo ya Afrika Kusini (Southern African Development Community (SADC)) ina makao makuu yake
==Marejeo==
|