Britania : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
maungano > muungano |
||
Mstari 8:
Jina la Britania limetokana na [[Dola la Roma|Waroma wa Kale]] waliovamia kisiwa na kufanya sehemu ya kusini kuwa jimbo la dola lao. Jimbo la [[Britania ya Kiroma]] liliunganisha nchi za Uingereza na Welisi za leo.
Kisiwa chote ni sehemu ya [[Ufalme wa
Visiwa katika mfereji wa Kiingereza na kisiwa cha Isle of Man viko chini ya malkia au mfalme wa Uingereza lakini si sehemu za Ufalme wa
Britania huitwa pia "Britania Kuu" kwa sababu ya "Britania ndogo" katika [[Ufaransa]] (Kiingereza: "Brittany"; [[Kifaransa]]: "[[Bretagne]]").
Mstari 22:
<small>'''Tanbihi:'''</small>
*<small> '''Redio Tanzania''' imependekeza neno moja la "'''Uingereza'''“ kwa ajili ya nchi, kisiwa na pia dola</small>
*<small> [[TUKI]] imependekeza maneno mawili ya '''Uingereza''' (kwa nchi pia kwa ajili ya Ufalme wa
*<small>Makala hii inajaribu kutumia neno la "Britania“ na kusubiri michango ya wanawikipedia.</small>
|