Pius Msekwa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
dNo edit summary
Mstari 1:
'''Pius Msekwa''' ( Amezaliwaamezaliwa tar. [[9 Juni]], [[1935]]) alikuwani [[spika]]mwanasiasa wa Bunge lakutoka [[Tanzania]]. kuanziaKuanzia mwaka [[1995]] hadi mwaka [[2005]] alikuwa [[spika]] wa [[Bunge]] la Tanzania.
 
==Elimu==
Pius Msekwa alipata Shahada ya Uzamili katika Sayansi ya Siasa kutoka [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]] kati ya mwaka 1973-1974, pia Shahada ya Sanaa katika Historia kutoka [[Chuo Kikuu cha Makerere]], Uganda kati ya mwaka 1955-1960 na Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha [[Tanzania]].
Line 28 ⟶ 29:
Pia aliwahi kuwa Katibu Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kati ya mwaka 1977-1980 na Katibu Mkuu Mtendaji wa chama tawala cha Tanganyika Africa National Union (TANU) kati ya mwaka 1967-1970.
 
{{mbegu}}
[[Category:Mbegu]]
 
[[Category:Watu wa Tanzania]]
{{DEFAULTSORT:Msekwa, Pius}}
[[Category:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Category:Watu naWalio MaishaHai]]
[[Category:Waliozaliwa 1935]]