Pius Msekwa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
dNo edit summary |
||
Mstari 1:
'''Pius Msekwa''' (
==Elimu==
Pius Msekwa alipata Shahada ya Uzamili katika Sayansi ya Siasa kutoka [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]] kati ya mwaka 1973-1974, pia Shahada ya Sanaa katika Historia kutoka [[Chuo Kikuu cha Makerere]], Uganda kati ya mwaka 1955-1960 na Shahada ya Sheria kutoka Chuo Kikuu Huria cha [[Tanzania]].
Line 28 ⟶ 29:
Pia aliwahi kuwa Katibu Mtendaji Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kati ya mwaka 1977-1980 na Katibu Mkuu Mtendaji wa chama tawala cha Tanganyika Africa National Union (TANU) kati ya mwaka 1967-1970.
{{mbegu}}
{{DEFAULTSORT:Msekwa, Pius}}
[[Category:Wanasiasa wa Tanzania]]
[[Category:Watu
[[Category:Waliozaliwa 1935]]
|