Sumer : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Guaka (majadiliano | michango) No edit summary |
Guaka (majadiliano | michango) dNo edit summary |
||
Mstari 1:
'''Sumer''' (au ''Shumer'', Kimisri Sangar, Bib. ''Shinar'', asili ki-en-gir) ni ustaarabu wa kale ulikuwepo katika sehemu ya kusini ya [[Mesopotamia]] (Kusini Mashariki ya [[Iraki]] ya sasa) kutoka wakati wa rekodi za mwanzo za katikati ya milenia ya nne hadi kuzuka kwa Babylonia katika mwisho wa milenia ya tatu KK. Neno “Sumerian” linamaanisha pia wazungumzaji wa lugha ya Sumerian. Sumer inachukuliwa kuwa jamii ya kwanza yenye makao ya kudumu duniani iliyoonesha sifa zote zinazohitajika ili kuitwa “ustaarabu”.
[[ar:سومر]]
|