Brussels : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: szl:Bruksela |
No edit summary |
||
Mstari 3:
'''Brussels''' ([[Kifaransa]]: '''Bruxelles''', [[Kijerumani]]: '''Brüssel''') ni [[mji mkuu]] wa Ubelgiji na pia makao makuu ya ofisi za [[Umoja wa Ulaya]].
Kisheria jina la Brussel
- '''mji wa Brussel'''
- '''Jimbo la Brussel''' ambamo ndipo ulipo mji wa Brussels pamoja na miji 18 mingine inayojitawala
Mji umejulikana tangu mwaka [[966]] [[BK]] lakini kuna uwezekano ya kwamba umri wake ni mkubwa.
Katika karne ya 15 BK ulikuwa mji mkuu wa utemi wa [[Brabant]] ukitajirika kutokana na
Tangu 1958 Brussel imekuwa mji mkuu wa Ulaya kwa sababu imeteuliwa kuwa makao makuu ya ofisi za [[Umoja wa Ulaya]] - wakati ule mtangulizi wake [[Jumuiya ya Kiuchumi ya Ulaya]]. [[1967]] makao makuu ya NATO yalifuata ikahamia baada ya fitina kati ya [[Marekani]] na [[Ufaransa]].
|