Mwanzo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 27:
|-
|style="font-size: 1.0em;" bgcolor="#F7F5D3" |
<h3 style="font-size:150%"><em style="color:orange;font-style:normal">&#8226;</em>'''Makala maalum:''' <br><center>'''[[MauajiBarack ya Halaiki ya My LaiObama]]'''</center></h3>
[[Image:My Lai massacreSen._Barack_Obama_smiles.jpg|thumb|right|200px|Picha inayoonyesha miili ya wahanga waSeneta MyBarack LaiObama.]]
'''Barack Hussein Obama''' (* [[4 Agosti]] [[1961]]) ni mwanasiasa nchini [[Marekani]] na tangu 2004 yeye ni [[seneta]] wa jimbo la [[Illinois]] katika bunge la kitaifa. Tangu mwaka 2007 ametafuta nafasi ya mgombea wa chama cha Demokrasia (Democratic Party) kwa uchaguzi wa rais wa Marekani mwaka 2008.
'''Mauji ya Halaiki ya My Lai''' au '''The My Lai Massacre''' (tamka: [mi.˧˩˥'lɐːj˧˧], Thảm sát Mỹ Lai, Thảm sát Sơn Mỹ) yalikuwa mauaji ya mamia ya watu waliouawa na kikosi cha majeshi ya [[Marekani]] katika kijiji cha My Lai, nchini [[Vietnam Kusini]] mnamo tar. [[16 Machi]], [[1968]]. Katika kumbukumbu za My Lai yameorodheshwa majina ya wahanga wapatao 504.
 
Alipoingia bungeni alikuwa seneta wa kitaifa wa pekee Mwamerika mweusi
==Mauaji ya My Lai==
==Utoto na Ujana==
Siku ile kikosi cha wanajeshi wa Marekani chini ya uongozi wa Luteni William Calley walipewa amri ya kutafuta wanamigambo ya [[Vietkong]] kijijini wakiambiwa ya kwamba Vietkong walijificha katika eneo lile. Waliambiwa ya kwamba wasingekuta watu raia mle lakini wategemee wanamigambo. Kikosi kilipoingia My Lai hawakuona wanamigambo bali wanawake, watoto na wazee watupu. Wakihofia ya kwamba Vietkong wanajificha kwenye vibanda na nyumba wanejeshi kadhaa walianza kufyatulia risasi kwenye nyumba na mauaji wa kwanza ya wanawake na watoto yalitokea kwa njia hiyo. Baada ya kusikia risasi watu walianza kukimbia kila upande na wanajeshi wengine walipiga risasi kwa wakimbiaji. Baada ya muda kidogo sehemu ya askari waliendelea kuwaua watu wote. Wakapitia nyumba kwa nyumba na kuua wajeruhiwa pia.
Baba yake Obama alikuwa Mkenya Barack Obama aliyeaga dunia 1982. Mzee Obama alitoka [[mkoa wa Nyanza]] nchini [[Kenya]] akaenda Marekani masomoni. Mama alikuwa Mwamerika mzungu Ann Dunham kutoka jimbo la [[Kansas]] aliyeaga dunia 1995. Wazazi walifunga ndoa wakati ndoa kati ya watu weupe na weusi bado ilikuwa marufuku katika sehemu za kusini za Marekani. Wazazi waliachana baada ya miaka miwili na mtoto Barack alibaki na mama.
 
Mama aliendelea kuolewa na mwanafunzi kutoka [[Indonesia]] akamfuata aliporudi kwake. Hivyo Barack aliishi [[Jakarta]] hadi 1971 aliporudi Marekani na kukaa na babu yake huko [[Hawaii]] hadi alipomaliza shule ya sekondari.
Wavietnam 11 waliokolewa na rubani wa helikopta ya Kimarekani aliyeona mauaji kutoka hewani. Alishuka akajaza helikopta na Wavietnam wachache waliobaki akitisha askari wenzake kuwapigia bunduki wakijaribu kuwaua. Rubani aliyeitwa Hugh Thompson alitoa taarifa kwa wakubwa wake.
 
*[[Mauaji ya Halaiki ya My Lai|Soma zaidi kuhusu Mauaji ya Halaiki ya My Lai.]]
Barack ana dada wawili mmoja kutoka ndoa ya pili ya mamake na mmoja kutoka ndoa wa pili wa babake huko Kenya.
*[[Barack Obama|Soma zaidi kuhusu Barack Obama.]]
<h3 style="font-size:100%"><em style="color:orange;font-style:normal">&#8226;</em>'''Ujenzi'''</h3>
[[Ujenzi]] -