Melvin Schwartz : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Melvin Schwartz''' (2
Alikuwa mtoto wa mji wa New York akasoma [[Bronx High School of Science]] na [[chuo kikuu]] cha [[Columbia University]] alipokuwa mwanafunzi wa mshindi wa Tuzo Nobel [[Isidor I. Rabi]] na profesa msaidizi tangu 1958.
Mstari 5:
[[1966]] alihamia [[Stanford University]] alipokuta machine mpya ya kuharakisha mwendo wa chembe za kinyuklia iliyomsaidia kuendeleza utafiti wake.
[[1991]] akawa mkurugenzi msaidizi wa idara ya fizikia ya kinyuklia kwenye taasisi ya ''[[Brookhaven National Laboratory]]'' (yaani Maabara ya Kitaifa kule Brookhaven, Marekani) alipowahi kutekeleza majaribio yake
Alistaafu mwaka 2000.
|