Waraka wa kwanza kwa Wathesaloniki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Barua ya kwanza kwa Watesalonike umesogezwa hapa Waraka wa kwanza kwa Wathesaloniki: tahajia |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Waraka wa kwanza kwa Wathesaloniki''' ni sehemu ya [[Agano Jipya]] katika [[Biblia ya Kikristo]]. Ni barua iliyoandikwa na [[Paulo wa Tarso]] kwa Wakristo wa mji wa [[Thesaloniki]] katika [[Ugiriki ya Kale]].
Barua hiyo ni andiko la kwanza la [[Agano Jipya]] katika [[Biblia]] kwa kuwa ni wa mwaka 51 hivi.
Baada ya [[Sila]] na [[Timotheo]] kufika [[Korintho]] toka [[
Kwa furaha Paulo akawaandikia barua hiyo tuliyonayo mpaka leo ambayo haina mafundisho mazito isipokuwa kuhusu mambo ya mwisho (hali ya [[marehemu]] na [[ujio wa pili wa Bwana]]).
|