Waraka kwa Waebrania : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
viungo
Mstari 1:
{{Agano Jipya}}
 
Miaka ya 60 [[B.K.]] Mkristo mwenye asili ya [[Kiyahudi]] na elimu ya [[Kiyunani]], aliwaandikia [[Wakristo]] wa Kiyahudi wenzake si barua hasa bali hotuba kamili iliyoambatanishwa na kipande cha barua.
 
Line 12 ⟶ 14:
 
Ubora wake ni kulinganisha mambo ya kale na utimilifu wake katika [[Agano Jipya]], pia kuthibitisha ukuu wa Kristo kama kuhani wa milele (Eb 1:1-2:4; 4:11-5:10; 7:1-8:13; 10:19-11:40; 13:22-25).
 
 
==Kiungo cha nje==
* [http://www.intratext.com/IXT/SWA0013/_INDEX.HTM] Agano Jipya kwa lugha ya Kiswahili
 
 
[[Category:Vitabu vya Agano Jipya|Ebr]]